Samuel Sasali a.k.a Papaa

Think Differently and Make a Difference.

Nyumbani (Home) Post New Entry

Samuel Is Inviting You in the World Of Thinkers

view:  full / summary

Papaa On Tuesday...Time Management..Are We Managing Time or Managing Our Actions???

Posted by Papaa on March 22, 2011 at 2:50 AM Comments comments (0)

Kwa maombi ya Wapenzi wa Blog wameniomba niitume hii. Baada ya wiki iliyopita kuangalia mambo ya Pembe Tatu.... 

 

Kati ya rasilimali zisizotunzwa vema na Jamii yetu ya Wakristo, Watanzania na Afrika kwa ujumla muda unaongoza kwa kupotezwa.Kuna watu huwa wanajiuliza ni kwa namna gani masaa 24 yameisha wakati shughuli zao hazijaisha na wakati huo huo kuna watu wanajiuliza jinsi siku ulivyokuwa ndefu, sababu gani hawakuwa na chakufanya, cha kujiuliza...

Read Full Post »

Feeling Lazy? 6 Ways to Trick Yourself Into Working

Posted by Papaa on November 18, 2010 at 12:51 AM Comments comments (1)

We all have low inspiration, low energy days. One option is to simply grit your teeth and power through your fatigue. If that works for you, power to you. But for the rest of us weaker willed individuals, all hope is not lost according to a recent post by blogger Ali Luke on Dumb Little Man. Instead of relying on the brute force of willpower to get through lazy periods, Luke suggests you take the less painful route, acknowledge your inner toddler and simply trick y...

Read Full Post »

Papaa On Tuesday.......Ingawa Mwanzo Mzuri Ni Mtaji Lakini Issue Sio Unaanzaje, Issue Unamalizaje!

Posted by Papaa on November 16, 2010 at 3:01 AM Comments comments (0)

Marafiki Huru natumaini hatujambo kabisa.


Sina budi kumshukuru Mungu kwa siku ya tarehe 14 November, 2010 ilikuwa ninaadhimisha siku yangu ya kuzaliwa kama ambavyo nimekuwa nikiadhimisha kila mwaka. Kama ilivyo ada sikuwa nimepanga chochote zaidi ya kuwa na muda wa kutafakari ngwe inayofuata ya utu uzima ninafanyaje. Mwaka huu baadhi ya marafiki mliamua kusheherekea siku hii...

Read Full Post »

UNAUTUNZAJE MUDA WAKO?

Posted by Papaa on October 8, 2010 at 9:11 AM Comments comments (0)

 

UNAUTUNZAJE MUDA WAKO?

Kati ya rasilimali zisizotunzwa vema na Jamiiyetu ya Wakristo, Watanzania na Afrika kwa ujumla muda unaongoza kwa kupotezwa.Kuna watu huwa wanajiuliza ni kwa namna gani masaa 24 yameisha wakati shughulizao hazijaisha na wakati huo huo kuna watu wanajiuliza jinsi siku ulivyokuwandefu, sababu gani hawakuwa na chakufanya, cha kujiuliza hivi ni kweli hawakuwana chakufanya?

 

Kuna Msemo unasema no hurryin Africa. Rafiki yangu ambaye alizal...

Read Full Post »

Papaa On Tuesday........Hatujiamini Sababu hatufahamu au Hatufahamu Kama Hatujiamini?

Posted by Papaa on October 5, 2010 at 1:44 PM Comments comments (2)


Marafiki

Kati ya matatizo makubwa ambayo nimegundua yanahitaji tiba ya haraka kwenye kizazi chetu na kile Kijacho ni “Kufahamu” na “Kujiamini”. Sijajua kama watu hawajui ndo maana hawajiamini ama wanahitaji hamasa ya kuhamasishwa kuwa wajiamini kuwa wanaweza hata kama hawawezi.

Nimekuwa na mawazo sana kwa ajili ya Kizazi chetu na kile kijacho na kubaini tuna changamoto kubwa. Mimi ni mpenzi wa kipindi cha SKONGA kwenye Channel 5,...

Read Full Post »

Papaa On Tuesday......Kuna Wakati Unapaswa Kujipongeza...Unasubiri Offer?

Posted by Papaa on September 29, 2010 at 10:05 AM Comments comments (0)

Marafiki Natumai tuko Pamoja.

 

Kwa wale tulioonana Kwenye Sifa Zivume na wengine kuwasiliana inanipa Faraja kubwa kuona Marafiki Huru tupo Pamoja.

 

Kutokana na umasikini wa fikra miongoni mwetu tumesahau kuwa sisi wenyewe tunahitaji kuwa na maisha mazuri na kuwa na wakati wa kupumzisha akili kutokana na shughuli za Kila siku. Sisi tunahitaji kujipongeza kwa maana yakujipa offer wenyewe ya kula, kuvaa hata kupumzika pale inapobidi. Wengi wetu tunafurahia tun...

Read Full Post »

Papaa On Tuesday......Kuna Wakati Unapaswa Kujipongeza...Unasubiri Offer?

Posted by Papaa on September 29, 2010 at 10:05 AM Comments comments (0)

Marafiki Natumai tuko Pamoja.

 

Kwa wale tulioonana Kwenye Sifa Zivume na wengine kuwasiliana inanipa Faraja kubwa kuona Marafiki Huru tupo Pamoja.

 

Kutokana na umasikini wa fikra miongoni mwetu tumesahau kuwa sisi wenyewe tunahitaji kuwa na maisha mazuri na kuwa na wakati wa kupumzisha akili kutokana na shughuli za Kila siku. Sisi tunahitaji kujipongeza kwa maana yakujipa offer wenyewe ya kula, kuvaa hata kupumzika pale inapobidi. Wengi wetu tunafurahia tun...

Read Full Post »

Sifa Zivume Zavumishwa Dar-es-Salaam

Posted by Papaa on September 27, 2010 at 9:37 AM Comments comments (2)

Jana siku Ya tarehe 26 September, 2010 Kamera Yangu ya Blog ilikuwa imeangazia Matukuo Makubwa Mawili. Fuatana nami katika Blog yangu.

 

TAMASHA LA SIFA ZIVUME LAVUMA KATIKA JIJI LA DAR-ES-SALAAM

Jana siku ya tarehe 26 Spetember, 2010. Katika ukumbi wa Mlimani City Conference Centre katika jiji la Dar-es-Salaam kulilindima kundi kubwa la wakazi wa jiji hilo kwa ajili ya Tamasha Kubwa la Kusifu na Kuabudu lililopewa jina la SIFA ZIVUME.

 

Tangu mnamo sa...

Read Full Post »

Rss_feed